Thursday, September 16, 2010

Demokrasia bila Mijadala au Midahalo

LAITI ingelikuwa hivyo, basi Plato na Wagiriki wangeliipa demokrasia jina lingine. Lakini kwa kuipa demokrasia jina hili waliotangulia walishangilia uwezo wa binadamu katika kubishania juu ya kilicho bora na heri kwao. Tualewaje wasiotaka tupate bora na heri zaidi ?

No comments: