Kenya 3; Tanzania 0
KWA mara nyingine tena imeiaibisha Tanzania baada ya kuipiku katika kuzungumzia na kuiafiki katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya.Tulishapitwa pia katika kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi na serikali ya Umoja wa Kitaifa. Laiti upinzani ungeliungana hili kwa sasa lingekuwa yakini, yaani, lingekuja kwa kulazimishwa watawala wetu wa sasa.
Ninaamini, Tanzania bila kuwepo na mabadiliko ya kweli, ya kina na ya msingi haiwezi kubadilika. Itakuwa tu juzi kama jana, na jana kama leo!
Thursday, September 16, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment